2 Wafalme 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na wale watu wengine+ walioachwa nyuma katika jiji na wale waliokimbia, wakamwendea mfalme wa Babiloni na ule umati mwingine, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+ Yeremia 52:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hawa ndio watu ambao Nebukadreza alipeleka uhamishoni: katika mwaka wa 7, Wayahudi 3,023.+
11 Na wale watu wengine+ walioachwa nyuma katika jiji na wale waliokimbia, wakamwendea mfalme wa Babiloni na ule umati mwingine, Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+