Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 matendo yako ya uzinzi+ na milio yako,+ mwenendo wako mpotovu katika ukahaba. Juu ya vilima, katika mashamba, nimeyaona machukizo yako.+ Ole wako, Ee Yerusalemu! Huwezi kuwa safi+—baada ya muda gani zaidi?”+

  • Hosea 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Sitatoza hesabu juu ya binti zenu kwa sababu wanafanya uasherati, wala juu ya binti-wakwe zenu kwa sababu wanafanya uzinzi. Kwa maana, kwa habari ya wanaume, hujiendea zao wenyewe pamoja na makahaba,+ nao hutoa dhabihu pamoja na wanawake makahaba wa hekaluni;+ na watu ambao hawaelewi+ watakanyagiwa chini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki