Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hawajajua,+ wala hawaelewi,+ kwa sababu macho yao yamechafuliwa ili yasione,+ moyo wao ili usiwe na ufahamu.+

  • Yeremia 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana watu wangu ni wapumbavu.+ Hawanijali mimi.+ Wao ni wana wasio na hekima; nao si wale walio na uelewaji.+ Wana hekima ya kutenda mabaya, lakini kwa kweli hawajui kutenda mema.+

  • Danieli 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+

  • Hosea 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+

  • Waroma 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 hakuna yeyote aliye na ufahamu wowote, hakuna yeyote anayemtafuta Mungu.+

  • Waefeso 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 huku wakiwa katika giza kiakili,+ na kutenganishwa mbali+ na uzima ambao ni wa Mungu, kwa sababu ya kule kutojua+ ambako kumo ndani yao, kwa sababu ya ugumu+ wa mioyo yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki