Zaburi 55:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ukiwa na uwe juu yao!+Na washuke katika Kaburi* wakiwa hai;+Kwa maana wakati wao wa kukaa ugenini mambo mabaya yamekuwa ndani yao.+ Methali 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nyumba yake ni njia za kwenda katika Kaburi;*+ zinashuka kwenye vyumba vya ndani vya kifo.+
15 Ukiwa na uwe juu yao!+Na washuke katika Kaburi* wakiwa hai;+Kwa maana wakati wao wa kukaa ugenini mambo mabaya yamekuwa ndani yao.+