5 nao wanaendelea kumchezea kila mmoja rafiki yake;+ nao hawasemi ukweli hata kidogo. Wameufundisha ulimi wao kusema uwongo.+ Wamejichosha tu katika kufanya kosa.+
13 Tazama! Je, si kutoka kwa Yehova wa majeshi kwamba vikundi vya watu vitaendelea kufanya kazi ya taabu kwa ajili ya moto tu, na kwamba vikundi vya mataifa vitajichosha bure tu?+