Zaburi 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ananilaza katika malisho yenye majani mengi;+Ananiongoza kando ya mahali pa kupumzika palipo na maji ya kutosha.+ Isaya 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+
2 Ananilaza katika malisho yenye majani mengi;+Ananiongoza kando ya mahali pa kupumzika palipo na maji ya kutosha.+
10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+