Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana hawalali wasipotenda jambo baya,+ nao hawapati usingizi wasipomkwaza mtu.+

  • Mika 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ole wao wanaopanga mambo yenye kudhuru, na wale wanaozoea kufanya lililo baya, vitandani mwao!+ Wao hulifanya kwenye nuru ya asubuhi,+ kwa sababu hilo liko katika uwezo wa mikono yao.+

  • Yakobo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi;+ nayo dhambi, wakati imetimizwa, huleta kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki