Isaya 59:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na kweli haipo,+ na mtu yeyote anayeacha ubaya anaporwa.+ Na Yehova akaona, na ikawa vibaya machoni pake kwamba haki haikuwapo.+ Amosi 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Je, farasi watakimbia juu ya mwamba, au je, mtu atalima hapo kwa kutumia ng’ombe? Kwa maana ninyi mmeigeuza haki iwe mmea wenye sumu,+ na kuyageuza matunda ya uadilifu yawe pakanga, Habakuki 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi sheria hufa ganzi, na haki haitendeki kamwe.+ Kwa kuwa mwovu anamzingira mwadilifu, kwa sababu hiyo haki hupotoshwa.+
15 Na kweli haipo,+ na mtu yeyote anayeacha ubaya anaporwa.+ Na Yehova akaona, na ikawa vibaya machoni pake kwamba haki haikuwapo.+
12 “ ‘Je, farasi watakimbia juu ya mwamba, au je, mtu atalima hapo kwa kutumia ng’ombe? Kwa maana ninyi mmeigeuza haki iwe mmea wenye sumu,+ na kuyageuza matunda ya uadilifu yawe pakanga,
4 Basi sheria hufa ganzi, na haki haitendeki kamwe.+ Kwa kuwa mwovu anamzingira mwadilifu, kwa sababu hiyo haki hupotoshwa.+