Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 59:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kweli haipo,+ na mtu yeyote anayeacha ubaya anaporwa.+

      Na Yehova akaona, na ikawa vibaya machoni pake kwamba haki haikuwapo.+

  • Amosi 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Je, farasi watakimbia juu ya mwamba, au je, mtu atalima hapo kwa kutumia ng’ombe? Kwa maana ninyi mmeigeuza haki iwe mmea wenye sumu,+ na kuyageuza matunda ya uadilifu yawe pakanga,

  • Habakuki 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi sheria hufa ganzi, na haki haitendeki kamwe.+ Kwa kuwa mwovu anamzingira mwadilifu, kwa sababu hiyo haki hupotoshwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki