Zaburi 149:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yehova anawafurahia watu wake.+Anawarembesha wapole kwa wokovu.+ Yeremia 32:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nami nitafurahi juu yao ili niwatendee mema,+ nami nitawapanda katika nchi hii+ katika ukweli kwa moyo wangu wote na kwa nafsi yangu yote.’” Sefania 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.+ Atakufurahia kwa shangwe.+ Atanyamaza katika upendo wake. Atakushangilia kwa vilio vya furaha.
41 Nami nitafurahi juu yao ili niwatendee mema,+ nami nitawapanda katika nchi hii+ katika ukweli kwa moyo wangu wote na kwa nafsi yangu yote.’”
17 Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.+ Atakufurahia kwa shangwe.+ Atanyamaza katika upendo wake. Atakushangilia kwa vilio vya furaha.