Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 149:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana Yehova anawafurahia watu wake.+

      Anawarembesha wapole kwa wokovu.+

  • Yeremia 32:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Nami nitafurahi juu yao ili niwatendee mema,+ nami nitawapanda katika nchi hii+ katika ukweli kwa moyo wangu wote na kwa nafsi yangu yote.’”

  • Sefania 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.+ Atakufurahia kwa shangwe.+ Atanyamaza katika upendo wake. Atakushangilia kwa vilio vya furaha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki