Zaburi 92:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwadilifu atachanua kama mtende;+Kama mwerezi katika Lebanoni, atakuwa mkubwa.+ Zaburi 92:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Bado wataendelea kusitawi wakati wa kuwa na kichwa chenye mvi,+Wataendelea kuwa wanono na wabichi,+ Ufunuo 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye atafuta kila chozi+ kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena,+ wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.+ Mambo ya zamani yamepitilia mbali.”+
14 Bado wataendelea kusitawi wakati wa kuwa na kichwa chenye mvi,+Wataendelea kuwa wanono na wabichi,+ Ufunuo 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye atafuta kila chozi+ kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena,+ wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.+ Mambo ya zamani yamepitilia mbali.”+
4 Naye atafuta kila chozi+ kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena,+ wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.+ Mambo ya zamani yamepitilia mbali.”+