11 Na kwenu ninyi maono ya kila jambo yanakuwa kama maneno ya kitabu ambacho kimefungwa kwa muhuri,+ ambacho wao wanampa mtu anayejua kuandika, wakisema: “Tafadhali, soma hiki kwa sauti,” naye analazimika kusema: “Siwezi, kwa maana kimefungwa kwa muhuri”;+