Amosi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Shikeni njia mpaka Kalne, mkaone; na kutoka hapo endeni mpaka Hamathi+ jiji lililo na hesabu kubwa ya watu, na mshuke mpaka Gathi+ la Wafilisti. Je, hayo ni bora kuliko falme hizi, au je, eneo lao ni kubwa kuliko eneo lenu?+
2 Shikeni njia mpaka Kalne, mkaone; na kutoka hapo endeni mpaka Hamathi+ jiji lililo na hesabu kubwa ya watu, na mshuke mpaka Gathi+ la Wafilisti. Je, hayo ni bora kuliko falme hizi, au je, eneo lao ni kubwa kuliko eneo lenu?+