2 Wafalme 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yuko wapi—mfalme wa Hamathi+ na mfalme wa Arpadi+ na mfalme wa majiji ya Sefarvaimu, Hena na Iva?’”+ Yeremia 49:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kuhusu Damasko:+ “Hamathi+ na Arpadi+ wameona aibu, kwa maana wamesikia habari mbaya. Wamebomoka.+ Katika bahari kuna hangaiko; haiwezi kukaa bila machafuko.+
13 Yuko wapi—mfalme wa Hamathi+ na mfalme wa Arpadi+ na mfalme wa majiji ya Sefarvaimu, Hena na Iva?’”+
23 Kuhusu Damasko:+ “Hamathi+ na Arpadi+ wameona aibu, kwa maana wamesikia habari mbaya. Wamebomoka.+ Katika bahari kuna hangaiko; haiwezi kukaa bila machafuko.+