Hesabu 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+ 2 Wafalme 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babiloni+ na Kutha na Ava+ na Hamathi+ na Sefarvaimu,+ akawakalisha katika majiji ya Samaria+ badala ya wana wa Israeli; nao wakaanza kumiliki Samaria na kukaa katika majiji yake. Isaya 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Je, Kalno+ si kama tu Karkemishi?+ Je, Hamathi+ si kama tu Arpadi?+ Je, Samaria+ si kama tu Damasko?+ Zekaria 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Hamathi+ litapakana naye pia; Tiro+ na Sidoni,+ kwa maana ana hekima sana.+
21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+
24 Basi mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babiloni+ na Kutha na Ava+ na Hamathi+ na Sefarvaimu,+ akawakalisha katika majiji ya Samaria+ badala ya wana wa Israeli; nao wakaanza kumiliki Samaria na kukaa katika majiji yake.
9 Je, Kalno+ si kama tu Karkemishi?+ Je, Hamathi+ si kama tu Arpadi?+ Je, Samaria+ si kama tu Damasko?+