2 Wafalme 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu. 2 Wafalme 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakaliteka+ mwishoni mwa miaka mitatu; katika mwaka wa sita wa Hezekia, yaani, mwaka wa tisa wa Hoshea mfalme wa Israeli, Samaria likatekwa.+
5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu.
10 Nao wakaliteka+ mwishoni mwa miaka mitatu; katika mwaka wa sita wa Hezekia, yaani, mwaka wa tisa wa Hoshea mfalme wa Israeli, Samaria likatekwa.+