Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 50:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Lihubirini jambo hilo kati ya mataifa na mlitangaze.+ Na mwinue ishara;+ mlitangaze. Msifiche jambo lolote. Semeni, ‘Babiloni ametekwa.+ Beli ameona aibu.+ Merodaki ameingiwa na hofu. Sanamu zake zimeona aibu.+ Sanamu zake za mavi zimeingiwa na hofu.’

  • Yeremia 51:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Inueni ishara+ juu ya kuta za Babiloni. Yatieni malindo nguvu.+ Wekeni walinzi. Watayarisheni wale wanaovizia.+ Kwa maana Yehova ametunga wazo naye pia hakika atafanya lile alilosema juu ya wakaaji wa Babiloni.”+

  • Yeremia 51:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Inueni ishara katika nchi.+ Pigeni baragumu kati ya mataifa. Takaseni+ mataifa juu yake. Iteni falme za Ararati,+ Mini na Ashkenazi+ zije juu yake. Wekeni juu yake ofisa mwandikishaji. Pandisheni+ farasi kama nzige waliojaa miiba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki