Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+ Yeremia 51:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Wewe ni rungu kwangu, kama silaha za vita,+ na kupitia wewe hakika nitayavunja mataifa vipande-vipande, na kupitia wewe nitaziangamiza falme.
11 “Isugueni mishale.+ Jazeni ngao za mviringo. Yehova ameiamsha roho ya wafalme wa Wamedi,+ kwa sababu wazo lake liko juu ya Babiloni,+ ili kumharibu. Kwa maana hicho ni kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+
20 “Wewe ni rungu kwangu, kama silaha za vita,+ na kupitia wewe hakika nitayavunja mataifa vipande-vipande, na kupitia wewe nitaziangamiza falme.