5 Moyo wangu unamlilia Moabu mwenyewe.+ Wakimbizi wa huko wamefika mbali mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwa maana kwenye mpando wa Luhithi+—kila mmoja anaupanda akilia; kwa maana katika njia ya kwenda Horonaimu+ wanapaaza kilio kuhusu ule msiba.
36 Ndiyo sababu moyo wangu mwenyewe utapiga-piga kwa ajili ya Moabu, kama tu filimbi;+ na kwa ajili ya watu wa Kir-heresi+ moyo wangu utapiga-piga, kama filimbi. Ndiyo sababu wingi ambao ametokeza hakika utaangamia.+