Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+

  • Methali 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vitu vyenye thamani vya tajiri ni mji wake wenye nguvu,+ navyo ni kama ukuta wa ulinzi katika mawazo yake.+

  • Isaya 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndiyo sababu masalio na mali zao zilizowekwa ghalani ambazo wameweka, wanaendelea kuzibeba na kuzivusha kwenye bonde la mto la mierebi.

  • Yeremia 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki