Zaburi 49:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wale wanaotegemea riziki zao,+Na ambao wanaendelea kujisifu juu ya wingi wa utajiri wao,+ Methali 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Vitu vyenye thamani vya tajiri ni mji wake wenye nguvu.+ Uharibifu wa watu wa hali ya chini ni umaskini wao.+ Methali 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+ Yeremia 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+
15 Vitu vyenye thamani vya tajiri ni mji wake wenye nguvu.+ Uharibifu wa watu wa hali ya chini ni umaskini wao.+
4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+
23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+