Hesabu 22:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na ikawa kwamba asubuhi Balaki akamchukua Balaamu na kumleta mpaka Bamoth-baali,+ ili kutoka huko awaone watu wote.+ Hesabu 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha Balaamu akamwambia Balaki: “Nijengee mahali hapa madhabahu saba+ na unitayarishie mahali hapa ng’ombe-dume saba na kondoo-dume saba.” Yeremia 48:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nami nitamkomesha katika Moabu,’ asema Yehova, ‘mtu anayeleta toleo mahali pa juu na mtu anayemfukizia mungu wake moshi wa dhabihu.+
41 Na ikawa kwamba asubuhi Balaki akamchukua Balaamu na kumleta mpaka Bamoth-baali,+ ili kutoka huko awaone watu wote.+
23 Kisha Balaamu akamwambia Balaki: “Nijengee mahali hapa madhabahu saba+ na unitayarishie mahali hapa ng’ombe-dume saba na kondoo-dume saba.”
35 Nami nitamkomesha katika Moabu,’ asema Yehova, ‘mtu anayeleta toleo mahali pa juu na mtu anayemfukizia mungu wake moshi wa dhabihu.+