Hesabu 22:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na Balaki akatoa dhabihu ng’ombe na kondoo+ na kupeleka sehemu yake kwa Balaamu na wale wakuu waliokuwa pamoja naye. Isaya 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na ikatukia kwamba ilionekana kuwa Moabu alichoshwa akiwa juu ya mahali pa juu;+ naye akaja katika patakatifu pake kusali,+ naye hakuweza kutimiza lolote.+
40 Na Balaki akatoa dhabihu ng’ombe na kondoo+ na kupeleka sehemu yake kwa Balaamu na wale wakuu waliokuwa pamoja naye.
12 Na ikatukia kwamba ilionekana kuwa Moabu alichoshwa akiwa juu ya mahali pa juu;+ naye akaja katika patakatifu pake kusali,+ naye hakuweza kutimiza lolote.+