Isaya 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na itatukia hakika katika siku hiyo kwamba yale mabaki ya Israeli+ na wale walioponyoka wa nyumba ya Yakobo hawatamtegemea tena kamwe yule anayewapiga,+ nao hakika watamtegemea Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ katika ukweli.+ Isaya 29:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na wapole+ hakika wataongeza kushangilia kwao katika Yehova, na hata maskini kati ya wanadamu watashangilia katika Mtakatifu wa Israeli,+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
20 Na itatukia hakika katika siku hiyo kwamba yale mabaki ya Israeli+ na wale walioponyoka wa nyumba ya Yakobo hawatamtegemea tena kamwe yule anayewapiga,+ nao hakika watamtegemea Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ katika ukweli.+
19 Na wapole+ hakika wataongeza kushangilia kwao katika Yehova, na hata maskini kati ya wanadamu watashangilia katika Mtakatifu wa Israeli,+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+