26 na wafalme wote wa kaskazini walio karibu na walio mbali, mmoja baada ya mwingine, na falme nyingine zote za dunia zilizo juu ya uso wa nchi; naye mfalme wa Sheshaki+ atakunywa baada yao.
11 Naye ataingia na kuipiga nchi ya Misri.+ Yeyote aliyekusudiwa mapigo yenye kufisha atapigwa kwa mapigo yenye kufisha, na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani ataenda utekwani, na yeyote aliyekusudiwa upanga atapigwa kwa upanga.+