Isaya 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova wa majeshi ameapa masikioni mwangu kwamba nyumba nyingi, ingawa ni kubwa na nzuri, zitakuwa kitu cha kushangaza kabisa, bila mkaaji.+ Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
9 Yehova wa majeshi ameapa masikioni mwangu kwamba nyumba nyingi, ingawa ni kubwa na nzuri, zitakuwa kitu cha kushangaza kabisa, bila mkaaji.+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+