15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amemwambia Tiro hivi, ‘Inapotokea sauti ya kuanguka kwako, wakati ambapo aliyetiwa majeraha ya kufisha atakapougua, wakati ambapo kutakuwapo mauaji yenye machinjo katikati yako, je, visiwa havitatikisika?+
35 Wakaaji wote wa visiwa+—hakika watakukazia macho kwa mshangao, nao wafalme wao wenyewe watalazimika kutetemeka kwa hofu.+ Nyuso zitaingiwa na wasiwasi.+
19 Nao wale wote wanaokujua wewe katikati ya vikundi vya watu, hakika watakukazia macho kwa mshangao.+ Utakuwa vitisho vya ghafula, nawe hutaendelea kuwapo tena mpaka wakati usio na kipimo.” ’ ”+