Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 26:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amemwambia Tiro hivi, ‘Inapotokea sauti ya kuanguka kwako, wakati ambapo aliyetiwa majeraha ya kufisha atakapougua, wakati ambapo kutakuwapo mauaji yenye machinjo katikati yako, je, visiwa havitatikisika?+

  • Ezekieli 27:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wakaaji wote wa visiwa+—hakika watakukazia macho kwa mshangao, nao wafalme wao wenyewe watalazimika kutetemeka kwa hofu.+ Nyuso zitaingiwa na wasiwasi.+

  • Ezekieli 28:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wale wote wanaokujua wewe katikati ya vikundi vya watu, hakika watakukazia macho kwa mshangao.+ Utakuwa vitisho vya ghafula, nawe hutaendelea kuwapo tena mpaka wakati usio na kipimo.” ’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki