16 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie.+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone, na uyasikie maneno ya Senakeribu ambayo ametuma ili kumdhihaki+ Mungu aliye hai.
4 Sikiliza,+ Ee Mungu wetu, kwa maana tumedharauliwa;+ na uzirudishe shutuma+ zao juu ya vichwa vyao wenyewe, nawe uwatoe waporwe katika nchi ya utekwani.