Ayubu 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana nilikuwa nikimwokoa mwenye kuteseka anayelia apewe msaada,+Na mvulana asiye na baba na mtu yeyote ambaye hakuwa na msaidizi.+ Zaburi 72:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na atetee kesi ya watu wako kwa uadilifu+Na ya watu wako wenye kuteseka kwa hukumu.+ Isaya 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+
12 Kwa maana nilikuwa nikimwokoa mwenye kuteseka anayelia apewe msaada,+Na mvulana asiye na baba na mtu yeyote ambaye hakuwa na msaidizi.+
17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+