Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndiyo sababu hasira ya Yehova imewaka juu ya watu wake, naye atanyoosha mkono wake juu yao na kuwapiga.+ Na milima itatetemeka,+ na maiti zao zitakuwa kama takataka katikati ya barabara.+

      Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.

  • Yeremia 25:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tazama! Msiba utaenda toka taifa mpaka taifa,+ na tufani kuu itaamshwa kutoka katika sehemu za mbali zaidi za dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki