Ezekieli 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “ ‘Nanyi hakika mtasema: “Njia ya Yehova si sawa.”+ Sikia, tafadhali, Ee nyumba ya Israeli. Je, njia yangu mwenyewe si sawa?+ Je, njia zenu ninyi sizo ambazo si sawa?+
25 “ ‘Nanyi hakika mtasema: “Njia ya Yehova si sawa.”+ Sikia, tafadhali, Ee nyumba ya Israeli. Je, njia yangu mwenyewe si sawa?+ Je, njia zenu ninyi sizo ambazo si sawa?+