Yeremia 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Na watu hawa au nabii au kuhani wanapokuuliza, wakisema, ‘Mzigo wa Yehova ni nini?’+ wewe pia utawaambia, ‘ “Ninyi—Lo! jinsi mlivyo mzigo!+ Nami nitawaacha ninyi,”+ asema Yehova.’ Maombolezo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa nini unatusahau milele,+ hivi kwamba unatuacha kwa siku nyingi?+
33 “Na watu hawa au nabii au kuhani wanapokuuliza, wakisema, ‘Mzigo wa Yehova ni nini?’+ wewe pia utawaambia, ‘ “Ninyi—Lo! jinsi mlivyo mzigo!+ Nami nitawaacha ninyi,”+ asema Yehova.’