4 na Sedekia mwenyewe, mfalme wa Yuda, hataponyoka kutoka mkononi mwa Wakaldayo, kwa maana bila shaka atatiwa mkononi mwa mfalme wa Babiloni, na kinywa chake kitasema na kinywa cha yule, na macho yake yatayaona macho ya yule”’;+
8 Na jeshi la Wakaldayo likamfuatilia mfalme,+ nao wakamfikia Sedekia+ katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko; na jeshi lake lote likatawanyika kutoka upande wake.+
14 Na mahali pa kukimbilia pataangamia kutoka kwa yule aliye mwepesi,+ wala hakuna yeyote mwenye nguvu atakayeimarisha nguvu zake, wala hakuna mwanamume yeyote mwenye nguvu ambaye ataiponya nafsi yake.+