Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na jeshi la Wakaldayo+ likamfuatilia mfalme, nao wakamfikia+ katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko;+ na jeshi lake lote likatawanyika kutoka upande wake.

  • Yeremia 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Na kama zile tini mbaya ambazo haziwezi kuliwa kwa sababu ya ubaya,+ kwa kweli Yehova amesema hivi: “Ndivyo nitakavyomtoa Sedekia+ mfalme wa Yuda na wakuu wake na mabaki wa Yerusalemu wanaobaki katika nchi hii+ na wale wanaokaa katika nchi ya Misri+—

  • Yeremia 34:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Sedekia mfalme wa Yuda+ na wakuu wake nitawatia mkononi mwa adui zao na mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao na mkononi mwa majeshi ya mfalme wa Babiloni+ ambayo yanaondoka kuwaacha ninyi.’+

  • Yeremia 37:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Mfalme Sedekia akatuma watu kumchukua, na mfalme akaanza kumuuliza maswali katika nyumba yake mahali pa maficho.+ Naye akaendelea kusema: “Je, liko neno lolote kutoka kwa Yehova?” Yeremia akasema: “Liko!” Naye akaendelea kusema: “Utatiwa mkononi mwa mfalme wa Babiloni!”+

  • Yeremia 38:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini ikiwa hutaenda nje kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni, jiji hili pia lazima litatiwa mkononi mwa Wakaldayo, nao kwa kweli wataliteketeza kwa moto,+ nawe hutaponyoka mkononi mwao.’”+

  • Yeremia 39:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na jeshi la Wakaldayo likawafuatilia,+ nao wakamfikia Sedekia katika nchi tambarare ya jangwa la Yeriko.+ Kisha wakamchukua na kumleta kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi+ ili atangaze hukumu juu yake.+

  • Ezekieli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitautandaza wavu wangu juu yake, naye atakamatwa katika wavu wangu wa kuwindia;+ nami nitampeleka Babiloni, mpaka nchi ya Wakaldayo,+ lakini hataiona; naye atakufa huko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki