5 Na jeshi la Wakaldayo likawafuatilia,+ nao wakamfikia Sedekia katika nchi tambarare ya jangwa la Yeriko.+ Kisha wakamchukua na kumleta kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi+ ili atangaze hukumu juu yake.+
8 Na jeshi la Wakaldayo likamfuatilia mfalme,+ nao wakamfikia Sedekia+ katika nchi tambarare za jangwa la Yeriko; na jeshi lake lote likatawanyika kutoka upande wake.+