Yeremia 38:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Mfalme Sedekia akatuma watu na kumchukua Yeremia nabii+ kwenye mlango wa tatu,+ ulio katika nyumba ya Yehova,+ kisha mfalme akamwambia Yeremia: “Ninakuuliza jambo fulani. Usinifiche jambo lolote.”+
14 Na Mfalme Sedekia akatuma watu na kumchukua Yeremia nabii+ kwenye mlango wa tatu,+ ulio katika nyumba ya Yehova,+ kisha mfalme akamwambia Yeremia: “Ninakuuliza jambo fulani. Usinifiche jambo lolote.”+