1 Samweli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akaendelea kusema: “Ni neno gani alilosema nawe? Tafadhali usinifiche hilo.+ Mungu na akufanyie hivyo naye aliongezee+ hilo ukinificha neno moja kati ya maneno yote ambayo amekuambia.” 1 Wafalme 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo mfalme akamwambia: “Ninakuapisha mara ngapi kwamba usiniambie jambo lolote ila kweli katika jina la Yehova?”+
17 Naye akaendelea kusema: “Ni neno gani alilosema nawe? Tafadhali usinifiche hilo.+ Mungu na akufanyie hivyo naye aliongezee+ hilo ukinificha neno moja kati ya maneno yote ambayo amekuambia.”
16 Kwa hiyo mfalme akamwambia: “Ninakuapisha mara ngapi kwamba usiniambie jambo lolote ila kweli katika jina la Yehova?”+