Kumbukumbu la Torati 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Hata hivyo, nabii atakayethubutu kusema katika jina langu neno ambalo sijamwamuru kusema+ au atakayesema katika jina la miungu mingine,+ nabii huyo lazima afe.+ 1 Samweli 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na hii ndiyo ishara kwako itakayokuja kwa wana wako wawili, Hofni na Finehasi:+ Wote wawili watakufa katika siku moja.+
20 “Hata hivyo, nabii atakayethubutu kusema katika jina langu neno ambalo sijamwamuru kusema+ au atakayesema katika jina la miungu mingine,+ nabii huyo lazima afe.+
34 Na hii ndiyo ishara kwako itakayokuja kwa wana wako wawili, Hofni na Finehasi:+ Wote wawili watakufa katika siku moja.+