Mwanzo 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mungu akawabariki+ na Mungu akawaambia: “Zaeni,+ muwe wengi, mjaze dunia na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila kiumbe hai kinachotambaa juu ya dunia.” Mwanzo 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nanyi, zaeni na kuwa wengi, mjaze dunia na kuwa wengi ndani yake.”+
28 Mungu akawabariki+ na Mungu akawaambia: “Zaeni,+ muwe wengi, mjaze dunia na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila kiumbe hai kinachotambaa juu ya dunia.”