26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+
18 Kwa hiyo Yehova wa majeshi, Mungu wa Israseli, amesema hivi, ‘Tazama, ninakaza fikira zangu juu ya mfalme wa Babiloni na juu ya nchi yake kama nilivyokaza fikira zangu juu ya mfalme wa Ashuru.+