35 Na ikawa kwamba usiku huo malaika wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi+ ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+
25 ili kumvunja Mwashuru katika nchi yangu+ na ili nimkanyagie chini juu ya milima yangu mwenyewe;+ na ili nira yake iondoke juu yao na ili mzigo wake uondoke juu ya bega lao.”+
13 “Naye atanyoosha mkono wake kuelekea kaskazini, naye ataangamiza Ashuru.+ Naye atafanya Ninawi kuwa mahame yenye ukiwa,+ eneo lisilo na maji kama nyika.