21 Kisha Eliya akawakaribia watu wote na kusema: “Mtayumba-yumba juu ya maoni mawili tofauti mpaka wakati gani?+ Ikiwa Yehova ndiye Mungu wa kweli, mfuateni yeye;+ lakini ikiwa ni Baali, mfuateni yeye.” Na watu hawakumjibu neno lolote.
18 Na sasa kwa nini ujishughulishe na njia ya Misri+ ili kunywa maji ya Shihori?+ Na kwa nini ujishughulishe na njia ya Ashuru+ ili kunywa maji ya ule Mto?