Yeremia 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Nenda, umwambie Sedekia mfalme wa Yuda,+ ndiyo, umwambie hivi: “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninalitia jiji hili mkononi mwa mfalme wa Babiloni,+ naye ataliteketeza kwa moto.+ Yeremia 37:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na hakika Wakaldayo watarudi tena na kupiga vita juu ya jiji hili na kuliteka na kuliteketeza kwa moto.”+
2 “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Nenda, umwambie Sedekia mfalme wa Yuda,+ ndiyo, umwambie hivi: “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninalitia jiji hili mkononi mwa mfalme wa Babiloni,+ naye ataliteketeza kwa moto.+
8 Na hakika Wakaldayo watarudi tena na kupiga vita juu ya jiji hili na kuliteka na kuliteketeza kwa moto.”+