-
Yeremia 32:44Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
44 “‘Watu watanunua mashamba kwa pesa, na maandishi yatatiwa katika hati+ na muhuri kutiwa na mashahidi+ kuchukuliwa, katika nchi ya Benyamini,+ na katika maeneo yanayozunguka Yerusalemu,+ na katika majiji ya Yuda,+ na katika majiji ya eneo lenye milima, na katika majiji ya nchi tambarare ya chini,+ na katika majiji ya kusini,+ kwa sababu nitawarudisha mateka wao,’+ asema Yehova.”
-