Ezekieli 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tazama! Wakuu+ wa Israeli wamekuwa ndani yako, kila mmoja akiwa amejitoa kwa mkono wake ili kumwaga damu.+ Danieli 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Ee Yehova, kwetu sisi kuna aibu ya uso, kwa wafalme wetu, kwa wakuu wetu na kwa mababu zetu, kwa maana tumekutendea dhambi.+
6 Tazama! Wakuu+ wa Israeli wamekuwa ndani yako, kila mmoja akiwa amejitoa kwa mkono wake ili kumwaga damu.+
8 “Ee Yehova, kwetu sisi kuna aibu ya uso, kwa wafalme wetu, kwa wakuu wetu na kwa mababu zetu, kwa maana tumekutendea dhambi.+