Kutoka 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+ Kumbukumbu la Torati 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova Mungu wetu alifanya agano pamoja nasi katika Horebu.+
7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+