-
2 Mambo ya Nyakati 34:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 “Nendeni, muulizeni+ Yehova kwa ajili yangu+ na kwa ajili ya mabaki katika Israeli na katika Yuda kuhusu maneno ya kile kitabu+ ambacho kimepatikana, kwa maana ghadhabu ya Yehova ambayo itamwagwa juu yetu ni kubwa+ kwa sababu mababu zetu hawakulishika neno la Yehova kwa kutenda kulingana na yote ambayo yameandikwa katika kitabu hiki.”+
-