Zaburi 75:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Na pembe zote za waovu nitazikata.”+Pembe za mwadilifu zitainuliwa.+ Zaburi 82:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Okoeni mtu wa hali ya chini na maskini;+Wakomboeni kutoka katika mkono wa waovu.”+ Methali 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+