5 “‘Kwa nini nimewaona wakiwa wameingiwa na hofu? Wanarudi nyuma, na wanaume wao wenye nguvu wamevunjwa vipande-vipande; nao hakika wamekimbia, wala hawakugeuka.+ Kuna hofu pande zote,’+ asema Yehova.
21 Na zaidi, askari-jeshi wake waliokodiwa walio katikati yake ni kama ndama waliononeshwa.+ Lakini wao pia wamerudi nyuma;+ wamekimbia pamoja. Hawakusimama.+ Kwa maana ile siku ya msiba wao imekuja juu yao, wakati wa kuwakazia fikira.’+