Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wakati huo majeshi ya mfalme wa Babiloni yalikuwa yanazingira Yerusalemu;+ naye Yeremia nabii alikuwa chini ya kizuizi katika Ua wa Walinzi+ ulio katika nyumba ya mfalme wa Yuda;

  • Yeremia 36:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha Yeremia akamwamuru Baruku, akisema: “Nimefungiwa. Siwezi kuingia katika nyumba ya Yehova.+

  • Yeremia 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa amri, kisha wakamtia Yeremia kifungoni katika Ua wa Walinzi;+ wakampa mkate wa mviringo kila siku kutoka kwenye barabara ya waokaji,+ mpaka mkate wote ulipokwisha jijini.+ Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki