4 ‘Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Tazama, ninazigeuza nyuma silaha za vita zilizo mkononi mwenu, mnazotumia kupigana na mfalme wa Babiloni,+ na Wakaldayo+ wanaowazingira ninyi nje ya ukuta, nami nitazikusanya katikati ya jiji hili.+
5 Na kulikuwa na jeshi la Farao lililotoka Misri;+ na Wakaldayo waliokuwa wakizingira Yerusalemu wakasikia habari kuwahusu. Basi wakaondoka mbele ya Yerusalemu.+